Font Size
Ufunua wa Yohana 9:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
Ufunua wa Yohana 9:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
8 Manyoya yao yalifanana kama nywele za wanawake; na meno yao yalikuwa kama meno ya simba. 9 Walikuwa na magamba yaliyofanana na ngao za chuma; na kelele za mabawa yao zilikuwa kama kelele za magari ya farasi yenye farasi wanaokimbia kwenda vitani. 10 Walikuwa na mikia ya kuuma kama nge; nguvu yao ya kutesa watu kwa muda wa miezi mitano ilikuwa katika mikia yao.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica