Font Size
Ufunuo 18:23-24
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Ufunuo 18:23-24
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
23 Mwanga wa taa hautang'aa ndani yako tena.
Sauti za maarusi hazitasikika ndani yako tena.
Wafanyabiashara wako walikuwa watu wakuu wa ulimwengu.
Mataifa yote yalidanganyika kwa uchawi wako.
24 Una hatia ya vifo vya manabii, na watakatifu wa Mungu,
na vya wote waliouawa duniani.”
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International