Add parallel Print Page Options

Watu Wamsifu Mungu Mbinguni

19 Baada ya hili nikasikia kitu kilichosikika kama kundi kubwa la watu mbinguni. Walikuwa wakisema:

“Haleluya![a]
Ushindi, utukufu na nguvu ni vyake Mungu wetu.
    Hukumu zake ni za kweli na za haki.
Mungu wetu amemwadhibu kahaba.
    Ndiye aliyeiharibu dunia kwa uzinzi wake.
Mungu amemwadhibu kahaba kulipa kisasi cha vifo vya watumishi wake.”

Read full chapter

Footnotes

  1. 19:1 Haleluya Yaani “Msifuni Mungu!” Pia katika mstari wa 3,4,6.