Font Size
Ufunuo 19:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Ufunuo 19:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Watu Wamsifu Mungu Mbinguni
19 Baada ya hili nikasikia kitu kilichosikika kama kundi kubwa la watu mbinguni. Walikuwa wakisema:
“Haleluya![a]
Ushindi, utukufu na nguvu ni vyake Mungu wetu.
2 Hukumu zake ni za kweli na za haki.
Mungu wetu amemwadhibu kahaba.
Ndiye aliyeiharibu dunia kwa uzinzi wake.
Mungu amemwadhibu kahaba kulipa kisasi cha vifo vya watumishi wake.”
Footnotes
- 19:1 Haleluya Yaani “Msifuni Mungu!” Pia katika mstari wa 3,4,6.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International