Font Size
Ufunuo 21:2-4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Ufunuo 21:2-4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
2 Nikauona mji mtakatifu, Yerusalemu mpya,[a] ukiteremka kutoka mbinguni kwa Mungu. Ulikuwa umeandaliwa kama bibi arusi aliyevalishwa kwa ajili ya mumewe.
3 Nikasikia sauti kuu kutoka kwenye kiti cha enzi. Ikisema, “Makao ya Mungu ni pamoja na wanadamu. Yeye ataishi pamoja nao. Na wao watakuwa watu wake. Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao naye atakuwa Mungu wao. 4 Atafuta kila chozi kutoka machoni mwaona. Hakutakuwa na kifo tena, huzuni, kilio wala maumivu. Namna zote za zamani zimepita.”
Read full chapterFootnotes
- 21:2 Yerusalemu mpya Mji wa kiroho ambako Mungu ataishi pamoja na watu wake.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International