Font Size
Ufunuo 6:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Ufunuo 6:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mwanakondoo Afungua Kitabu
6 Kisha nilitazama Mwanakondoo alipokuwa anaufungua muhuri[a] wa kwanza kati ya mihuri saba. Kisha nikasikia sauti ya mmoja wa viumbe wenye uhai wanne akisema kwa sauti kama ngurumo ya radi ikisema, “Njoo!” 2 Nilipotazama nilimwona farasi mweupe mbele yangu. Mwendesha farasi aliyekuwa amempanda farasi huyo alikuwa na upinde na alipewa taji. Alimwendesha farasi akatoka kwenda kumshinda adui na ili kupata ushindi.
Read full chapterFootnotes
- 6:1 muhuri Au “chapa maalumu”. Pia katika mstari wa 3.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International