Font Size
Ufunuo 6:1-3
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Ufunuo 6:1-3
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mwanakondoo Afungua Kitabu
6 Kisha nilitazama Mwanakondoo alipokuwa anaufungua muhuri[a] wa kwanza kati ya mihuri saba. Kisha nikasikia sauti ya mmoja wa viumbe wenye uhai wanne akisema kwa sauti kama ngurumo ya radi ikisema, “Njoo!” 2 Nilipotazama nilimwona farasi mweupe mbele yangu. Mwendesha farasi aliyekuwa amempanda farasi huyo alikuwa na upinde na alipewa taji. Alimwendesha farasi akatoka kwenda kumshinda adui na ili kupata ushindi.
3 Mwanakondoo alipoufungua muhuri wa pili, nilimsikia kiumbe wa pili mwenye uhai akisema, “Njoo!”
Read full chapterFootnotes
- 6:1 muhuri Au “chapa maalumu”. Pia katika mstari wa 3.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International