Font Size
Ufunuo 6:16-17
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Ufunuo 6:16-17
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
16 Waliiambia milima na miamba, “Tuangukieni. Tuficheni mbali na uso wa yule aketiye kwenye kiti cha enzi. Tuficheni dhidi ya hasira ya Mwanakondoo! 17 Siku kubwa ya hasira yao imefika. Hakuna anayeweza kupingana nayo.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International