Add parallel Print Page Options

Kutoka katika kabila la Simeoni walikuwa elfu kumi na mbili

Kutoka katika kabila la Lawi walikuwa elfu kumi na mbili

Kutoka katika kabila la Isakari walikuwa elfu kumi na mbili

Kutoka katika kabila la Zabuloni walikuwa elfu kumi na mbili

Kutoka katika kabila la Yusufu walikuwa elfu kumi na mbili

Kutoka katika kabila la Benjamini walikuwa elfu kumi na mbili.

Umati Mkubwa

Kisha nikatazama, nikaona umati mkubwa wa watu. Walikuwa wengi hakuna mtu angeweza kuwahesabu wote. Walikuwa wametoka katika kila taifa, kabila, rangi za watu na lugha za dunia. Walikuwa wamesimama mbele ya kiti cha enzi na mbele ya Mwanakondoo. Wote walikuwa wamevaa majoho meupe na wameshika matawi ya mitende mikononi mwao.

Read full chapter