Font Size
Ufunuo 8:1-3
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Ufunuo 8:1-3
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Muhuri wa Saba
8 Mwanakondoo alipoufungua muhuri wa saba, kulikuwa ukimya mbinguni kama nusu saa hivi. 2 Niliwaona malaika saba wanaosimama mbele ya Mungu. Walipewa tarumbeta saba.
3 Malaika mwingine akaja na kusimama kwenye madhabahu. Malaika huyu alikuwa na chetezo ya dhahabu. Malaika alipewa ubani mwingi ili autoe pamoja na maombi ya watakatifu wote wa Mungu. Malaika akaweka sadaka hii juu ya madhabahu ya dhahabu mbele ya kiti cha enzi.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International