Font Size
Ufunuo 8:4-6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Ufunuo 8:4-6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
4 Moshi kutoka kwenye ubani ukatoka kwenye mikono ya malaika kwenda kwa Mungu. Moshi ukaenda kwa Mungu ukiwa na Maombi ya watakatifu. 5 Kisha malaika akaijaza chetezo moto kutoka madhabahuni na kuitupa chini duniani, kukatokea miali, radi na ngurumo zingine na tetemeko la ardhi.
Sauti ya Tarumbeta ya Kwanza
6 Kisha malaika saba wenye tarumbeta walijiandaa kupuliza tarumbeta zao.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International