Font Size
Ufunuo 9:13-15
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Ufunuo 9:13-15
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mlio wa Tarumbeta ya Sita
13 Malaika wa sita alipopuliza tarumbeta yake, nilisikia sauti ikitoka katika pembe[a] zilizo katika pembe[b] nne za madhabahu ya dhahabu iliyo mbele za Mungu. 14 Ikamwambia malaika wa sita aliyekuwa na tarumbeta, “Wafungue huru malaika wanne waliofungwa pembezoni mwa mto mkuu Frati.” 15 Malaika hawa wanne walikuwa wamewekwa tayari kwa ajili ya saa hii, siku hii, mwezi na mwaka huu. Malaika waliachwa huru ili waue theluthi moja ya watu duniani.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International