Font Size
Waebrania 13:17-19
Neno: Bibilia Takatifu
Waebrania 13:17-19
Neno: Bibilia Takatifu
17 Watiini viongozi wenu na kufanya wanavyowaagiza. Wao wanachunga roho zenu, kama watu ambao watatoa ripoti ya huduma yao. Watiini kusudi wafanye kazi yao kwa furaha, na wala si kama mzigo, maana hiyo haitakuwa na faida kwenu.
18 Tuombeeni, kwa maana tuna hakika kwamba tunayo dhamiri safi na tunapenda kufanya yaliyo sawa daima. 19 Ninawasihi zaidi mniombee ili nirudishwe kwenu upesi zaidi.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica