Font Size
Waebrania 13:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
Waebrania 13:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
4 Ndoa iheshimiwe na watu wote, na wenye ndoa wawe waaminifu kwa wenzi wao ; maana Mungu atawahukumu wazinzi na waasherati.
5 Maisha yenu yasitawaliwe na tamaa ya kupenda fedha, na mridhike na mlivyo navyo; kwa kuwa yeye mwenyewe amesema, “Sita kupungukia kamwe wala sitakuacha.” 6 Kwa hiyo tunaweza kusema kwa ujasiri, “Bwana ni msaada wangu, sitaogopa kitu, mwanadamu anaweza kunifanya nini?”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica