Font Size
Waebrania 13:4-6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Waebrania 13:4-6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
4 Ndoa iheshimiwe na kila mmoja. Na kila ndoa itunzwe kwa usafi kati ya mume na mke. Mungu atawahukumu kuwa na hatia wale wanaofanya uzinzi na uasherati. 5 Yatunzeni maisha yenu yawe huru kutokana na kupenda fedha. Na mridhike na kile mlichonacho. Mungu amesema: “Sitakuacha kamwe; Sitakukimbia kamwe.”(A) 6 Hivyo tunaweza kuwa na uhakika na kusema:
“Bwana ndiye msaidizi wangu;
Sitaogopa.
Watu hawawezi kunifanya chochote.”(B)
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International