Font Size
Waebrania 13:5-7
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Waebrania 13:5-7
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
5 Yatunzeni maisha yenu yawe huru kutokana na kupenda fedha. Na mridhike na kile mlichonacho. Mungu amesema: “Sitakuacha kamwe; Sitakukimbia kamwe.”(A) 6 Hivyo tunaweza kuwa na uhakika na kusema:
“Bwana ndiye msaidizi wangu;
Sitaogopa.
Watu hawawezi kunifanya chochote.”(B)
7 Wakumbukeni viongozi wenu. Waliwafundisha ujumbe wa Mungu. Kumbukeni jinsi walivyoishi na walivyokufa, na muiige imani yao.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International