Font Size
Waebrania 13:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
Waebrania 13:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
6 Kwa hiyo tunaweza kusema kwa ujasiri, “Bwana ni msaada wangu, sitaogopa kitu, mwanadamu anaweza kunifanya nini?”
7 Wakumbukeni viongozi wenu, wale waliowaambia neno la Mungu. Tafakarini jinsi walivyoishi na matokeo ya mwenendo wao, mkaige imani yao. 8 Yesu Kristo ni yule yule, jana, leo na hata milele.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica