Font Size
Waebrania 13:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Waebrania 13:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
6 Hivyo tunaweza kuwa na uhakika na kusema:
“Bwana ndiye msaidizi wangu;
Sitaogopa.
Watu hawawezi kunifanya chochote.”(A)
7 Wakumbukeni viongozi wenu. Waliwafundisha ujumbe wa Mungu. Kumbukeni jinsi walivyoishi na walivyokufa, na muiige imani yao. 8 Yesu Kristo ni yule yule jana, leo na hata milele.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International