Font Size
Waebrania 7:15-17
Neno: Bibilia Takatifu
Waebrania 7:15-17
Neno: Bibilia Takatifu
15 Na hili tunalosema linakuwa wazi zaidi anapotokea kuhani mwingine kama Melkizedeki; 16 ambaye ukuhani wake hautokani na kanuni za ukoo wake, bali hutokana na uwezo wa maisha yasiyoharibika. 17 Kwa maana ameshuhudiwa hivi: “Wewe ni kuhani milele, kama wa Melkizedeki.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica