Font Size
Waebrania 7:15-17
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Waebrania 7:15-17
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu Ni Kuhani Mfano wa Melkizedeki
15 Na mambo haya yalizidi kuwa wazi zaidi tunapomwona kuhani mwingine aliye kama Melkizedeki. 16 Alifanywa kuhani, lakini siyo kwa sababu alikamilisha mahitaji ya kuzaliwa katika familia sahihi. Alifanyika kuhani kwa nguvu ya uhai ambayo haitakwisha. 17 Hivi ndivyo Maandiko yanavyosema kumhusu yeye: “Wewe ni kuhani milele, kama alivyokuwa Melkizedeki.”(A)
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International