Font Size
Waebrania 7:16-18
Neno: Bibilia Takatifu
Waebrania 7:16-18
Neno: Bibilia Takatifu
16 ambaye ukuhani wake hautokani na kanuni za ukoo wake, bali hutokana na uwezo wa maisha yasiyoharibika. 17 Kwa maana ameshuhudiwa hivi: “Wewe ni kuhani milele, kama wa Melkizedeki.”
Melkizedeki.”
18 Sheria ya mwanzo imewekwa kando kwa kuwa ilikuwa dhaifu na tena haikufaa.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica