Font Size
Waebrania 7:19-21
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Waebrania 7:19-21
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
19 Sheria ya Musa haikuweza kukamilisha kitu chochote. Lakini sasa tumaini bora zaidi limeletwa kwetu. Na kwa tumaini hilo tunaweza kumkaribia Mungu.
20 Vile vile, ni muhimu kwamba Mungu aliweka ahadi kwa kiapo alipomfanya Yesu kuwa kuhani mkuu. Watu hawa wengine walipofanyika makuhani, hapakuwepo kiapo. 21 Lakini Yesu akafanyika kuhani kwa kiapo cha Mungu. Mungu alimwambia:
“Bwana anaweka ahadi kwa kiapo
naye hatabadili mawazo yake:
‘Wewe ni kuhani milele.’”(A)
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International