Font Size
Waebrania 7:20-22
Neno: Bibilia Takatifu
Waebrania 7:20-22
Neno: Bibilia Takatifu
20 Na tumaini hilo halikutolewa pasipo kiapo! Wale waliofa nywa makuhani huko nyuma hapakuwepo kiapo. 21 Bali Yesu alipofa nywa kuhani aliwekewa kiapo wakati Mungu alipomwambia: “Bwana ameapa wala hatabadili nia yake, ‘Wewe ni kuhani milele.”’
22 Kwa ajili ya kiapo hiki, Yesu amekuwa mdhamini wa agano lililo bora zaidi.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica