Font Size
Waebrania 7:21-23
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Waebrania 7:21-23
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
21 Lakini Yesu akafanyika kuhani kwa kiapo cha Mungu. Mungu alimwambia:
“Bwana anaweka ahadi kwa kiapo
naye hatabadili mawazo yake:
‘Wewe ni kuhani milele.’”(A)
22 Hivyo hii inamaanisha kwamba Yesu ni uhakika wa agano zuri zaidi kutoka kwa Mungu kwa ajili ya watu wake.
23 Pia, mmoja wa hawa makuhani wengine alipofariki, asingeendelea kuwa kuhani. Hivyo walikuwepo makuhani wengi wa jinsi hii.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International