Font Size
Waebrania 7:23-25
Neno: Bibilia Takatifu
Waebrania 7:23-25
Neno: Bibilia Takatifu
23 Makuhani wa zamani walikuwa wengi kwa sababu kifo kiliwa zuia kuendelea daima na huduma yao. 24 Lakini yeye anaendelea na ukuhani wake daima kwa maana anaishi milele. 25 Kwa hiyo anaweza kwa wakati wote kuwaokoa wale wanaomkaribia Mungu kupitia kwake, kwa sababu yeye anaishi daima ili kuwaombea.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica