Font Size
Waebrania 7:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
Waebrania 7:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
5 Hata wana wa Lawi ambao ni makuhani, wameamriwa na sheria ya Mose kuwatoza Waisraeli ndugu zao, ambao ni wazao wa Abrahamu, sehemu ya kumi ya mapato yao. 6 Ingawa huyu Melkizedeki si wa ukoo wa Lawi, alipokea sehemu ya kumi kutoka kwa Abrahamu , na akambariki huyu ambaye alikwisha pokea ahadi za Mungu. 7 Wala hakuna ubishi kuwa mtu mdogo hubarikiwa na mtu aliye mkuu kuliko yeye.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica