Font Size
Waebrania 7:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
Waebrania 7:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
6 Ingawa huyu Melkizedeki si wa ukoo wa Lawi, alipokea sehemu ya kumi kutoka kwa Abrahamu , na akambariki huyu ambaye alikwisha pokea ahadi za Mungu. 7 Wala hakuna ubishi kuwa mtu mdogo hubarikiwa na mtu aliye mkuu kuliko yeye. 8 Kwa upande wa makuhani wa ukoo wa Lawi, sehemu ya kumi inapokelewa na binadamu ambao hufa; lakini kwa upande huu wa Melkizedeki, sehemu ya kumi inapokelewa na mtu ambaye tunahakikishiwa kuwa anaishi.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica