Font Size
Waebrania 8:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Waebrania 8:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu Kuhani Wetu Mkuu
8 Hii ndiyo hoja tunayosema: Tunaye kuhani mkuu wa jinsi hiyo, anayeketi upande wa kuume[a] wa kiti cha enzi cha Mungu Mkuu mbinguni. 2 Kuhani wetu mkuu anahudumia katika Patakatifu pa Patakatifu.[b] Anahudumia katika mahali pa hakika kwa ibada[c] palipotengenezwa na Bwana, siyo na mtu yeyote duniani.
Read full chapterFootnotes
- 8:1 upande wa kuume Mahali pa heshima na mamlaka (nguvu).
- 8:2 Patakatifu pa Patakatifu Kwa maana ya kawaida, “patakatifu” kwa “Patakatifu pa patakatifu”, mahali pa kiroho ambapo Mungu anaishi na anaabudiwa. Mahali hapa pa kiroho kiliwakilishwa na chumba ndani ya Hema Takatifu katika Agano la Kale. Tazama Hema Takatifu na Patakatifu pa Patakatifu katika Orodha ya Maneno.
- 8:2 mahali pa hakika kwa ibada Kwa maana ya kawaida, “Hema ya kuabudia” au “hema”.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International