Add parallel Print Page Options

Yesu Kuhani Wetu Mkuu

Hii ndiyo hoja tunayosema: Tunaye kuhani mkuu wa jinsi hiyo, anayeketi upande wa kuume[a] wa kiti cha enzi cha Mungu Mkuu mbinguni. Kuhani wetu mkuu anahudumia katika Patakatifu pa Patakatifu.[b] Anahudumia katika mahali pa hakika kwa ibada[c] palipotengenezwa na Bwana, siyo na mtu yeyote duniani.

Read full chapter

Footnotes

  1. 8:1 upande wa kuume Mahali pa heshima na mamlaka (nguvu).
  2. 8:2 Patakatifu pa Patakatifu Kwa maana ya kawaida, “patakatifu” kwa “Patakatifu pa patakatifu”, mahali pa kiroho ambapo Mungu anaishi na anaabudiwa. Mahali hapa pa kiroho kiliwakilishwa na chumba ndani ya Hema Takatifu katika Agano la Kale. Tazama Hema Takatifu na Patakatifu pa Patakatifu katika Orodha ya Maneno.
  3. 8:2 mahali pa hakika kwa ibada Kwa maana ya kawaida, “Hema ya kuabudia” au “hema”.