Font Size
Waebrania 8:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Waebrania 8:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Kuhani Mkuu Wa Agano Jipya
8 Basi, katika hayo yote, tunalosema ni hili: tunaye huyo kuhani mkuu, ambaye ameketi upande wa kuume wa kiti cha Mwenyezi mbinguni. 2 Yeye ni mhudumu wa patakatifu katika ile hema ya kweli iliyowekwa na Bwana, na wala si na wanadamu.
3 Kila kuhani huteuliwa ili atoe sadaka na dhabihu, kwa hiyo ilikuwa muhimu kwamba huyu kuhani naye awe na kitu cha kutoa.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica