Font Size
Waebrania 8:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
Waebrania 8:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
2 Yeye ni mhudumu wa patakatifu katika ile hema ya kweli iliyowekwa na Bwana, na wala si na wanadamu.
3 Kila kuhani huteuliwa ili atoe sadaka na dhabihu, kwa hiyo ilikuwa muhimu kwamba huyu kuhani naye awe na kitu cha kutoa. 4 Kama angalikuwa duniani asingalikuwa kuhani kwa sababu wapo makuhani wanaotoa sadaka kwa mujibu wa sheria ya Mose.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica