Font Size
Waefeso 3:1-3
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Waefeso 3:1-3
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Huduma ya Paulo kwa Wasio Wayahudi
3 Hivyo, mimi Paulo ni mfungwa kwa sababu ninamtumikia Kristo Yesu kwa ajili yenu ninyi msio Wayahudi. 2 Mnajua hakika ya kuwa Mungu alinipa kazi hii kupitia neema yake ili niwasaidie. 3 Mungu alinionyesha na nikaweza kuujua mpango wake wa siri. Nimekwisha kuandika kiasi fulani juu ya hili.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International