Font Size
Waefeso 3:10-12
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Waefeso 3:10-12
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
10 Lengo lake lilikuwa kwamba watawala wote na mamlaka zote zilizo mbinguni zijue njia nyingi anazotumia kuionesha hekima yake. Watalijua hili kwa sababu ya kanisa. 11 Hii inaendana na mpango aliokuwa nao Mungu tangu mwanzo wa nyakati. Alitekeleza mpango wake kupitia Kristo Yesu Bwana wetu. 12 Kwa kuwa tu wake Kristo tunakuja mbele za Mungu tukiwa huru bila woga. Tunaweza kufanya hivi kwa sababu ya uaminifu wake Kristo.[a]
Read full chapterFootnotes
- 3:12 uaminifu wake Kristo Au “kwa sababu ya imani katika Kristo”.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International