Font Size
Waefeso 3:11-13
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Waefeso 3:11-13
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
11 Hii inaendana na mpango aliokuwa nao Mungu tangu mwanzo wa nyakati. Alitekeleza mpango wake kupitia Kristo Yesu Bwana wetu. 12 Kwa kuwa tu wake Kristo tunakuja mbele za Mungu tukiwa huru bila woga. Tunaweza kufanya hivi kwa sababu ya uaminifu wake Kristo.[a] 13 Hivyo ninawaomba msikate tamaa kutokana na yale yanayonipata. Mateso yangu ni faida kwenu, na pia ni kwa ajili ya heshima na utukufu wenu.
Read full chapterFootnotes
- 3:12 uaminifu wake Kristo Au “kwa sababu ya imani katika Kristo”.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International