Font Size
Waefeso 3:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
Waefeso 3:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
2 Ninaamini kwamba mmek wisha sikia kuwa Mungu amenipa neema yake niwe mhudumu kwa ajili yenu; 3 na kwamba Mungu alinifahamisha siri hii kwa njia ya mafu nuo, kama nilivyokwisha andika kwa kifupi. 4 Kwa hiyo mtakaposoma barua hii mtaweza kutambua ufahamu niliopewa kuhusu siri ya Kris to.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica