Font Size
Waefeso 3:3-5
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Waefeso 3:3-5
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
3 Mungu alinionyesha na nikaweza kuujua mpango wake wa siri. Nimekwisha kuandika kiasi fulani juu ya hili. 4 Na ikiwa mtasoma nilichowaandikia, mtajua kuwa ninaielewa siri ya kweli kuhusu Kristo. 5 Watu walioishi zamani hawakuambiwa siri hiyo. Lakini sasa, kupitia Roho, Mungu amewawezesha mitume na manabii wake watakatifu kuijua siri hiyo.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International