Font Size
Waefeso 4:25-27
Neno: Bibilia Takatifu
Waefeso 4:25-27
Neno: Bibilia Takatifu
25 Kwa hiyo, kila mmoja wenu aache kusema uongo, na amwambie ndugu yake ukweli, kwa maana sisi sote ni viungo vya mwili mmoja. 26 Mkikasirika, msitende dhambi; msikubali kukaa na hasira kutwa nzima 27 na kumpa she tani nafasi.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica