Font Size
Waefeso 4:26-28
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Waefeso 4:26-28
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
26 “Unapokasirika, usiruhusu hasira hiyo ikusababishe wewe kutenda dhambi,”(A) na usiendelee na hasira kwa siku nzima. 27 Usimwachie Ibilisi nafasi ya kukushinda. 28 Yeyote ambaye amekuwa akiiba anapaswa kuacha kuiba na afanye kazi. Unapaswa kutumia mikono yako kufanya kitu chenye kufaa. Hapo utakuwa na kitu cha kuwashirikisha walio maskini.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International