Add parallel Print Page Options

26 “Unapokasirika, usiruhusu hasira hiyo ikusababishe wewe kutenda dhambi,”(A) na usiendelee na hasira kwa siku nzima. 27 Usimwachie Ibilisi nafasi ya kukushinda. 28 Yeyote ambaye amekuwa akiiba anapaswa kuacha kuiba na afanye kazi. Unapaswa kutumia mikono yako kufanya kitu chenye kufaa. Hapo utakuwa na kitu cha kuwashirikisha walio maskini.

Read full chapter