Font Size
Waefeso 4:30-32
Neno: Bibilia Takatifu
Waefeso 4:30-32
Neno: Bibilia Takatifu
30 Na msimhuzunishe Roho Mtakatifu wa Mungu ambaye ni mhuri wenu wa uthibitisho kwa siku ya ukombozi. 31 Ondoeni kabisa chuki yote, ghadhabu, hasira, ugomvi na matusi, pamoja na kila aina ya uovu. 32 Muwe wema na wenye mioyo ya upendo kati yenu, na kusameheana kama Mungu alivyowasamehe kwa ajili ya Kristo. Watoto Wa Nuru
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica