Font Size
Waefeso 4:31-32
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Waefeso 4:31-32
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
31 Usiwe na uchungu, wala kukasirika. Kamwe usiongee kwa hasira au kusema chochote ili uwaumize wengine. Usifanye chochote kilicho kiovu. 32 Mwe mwema na mpendane ninyi kwa ninyi. Msameheane ninyi kwa ninyi kama Mungu alivyowasamehe ninyi kwa njia ya Kristo.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International