Font Size
Waefeso 5:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Waefeso 5:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
5 Kwa hiyo mfuateni Mungu kama watoto wapendwa. 2 Muishi maisha ya upendo kama Kristo alivyotupenda sisi akajitoa kwa ajili yetu kuwa sadaka yenye harufu nzuri na dhabihu kwa Mungu. 3 Lakini uasherati, uchafu wa aina zote na tamaa, wala yasitajwe miongoni mwenu, kwa maana mambo haya hayawastahili watakatifu wa Mungu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica