Font Size
Waefeso 6:13-15
Neno: Bibilia Takatifu
Waefeso 6:13-15
Neno: Bibilia Takatifu
13 Kwa hiyo, vaeni silaha zote za Mungu ili mpate kusimama imara siku ya uovu itakapokuja; na mkishafanya yote, mtakuwa bado mme simama. 14 Kwa hiyo simameni imara mkisha jifunga na kweli kama mkanda kiunoni na haki kama kinga ya kifuani; 15 na kuvaa Injili ya amani kama viatu miguuni, ili muweze kusimama barabara.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica