Font Size
Waefeso 6:15-17
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Waefeso 6:15-17
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
15 Miguuni mwenu vaeni Habari Njema za amani ili ziwasaidie msimame imara. 16 Pia itumieni ngao ya imani ambayo itatumika kuizuia mishale inayowaka moto inayotoka kwa yule Mwovu. 17 Upokeeni wokovu wa Mungu kama chapeo yenu. Na chukueni upanga wa Roho, yaani mafundisho ya Mungu.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International