Font Size
Waefeso 6:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
Waefeso 6:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
5 Watumwa, watiini hao walio mabwana zenu hapa duniani, kwa heshima na kwa kutetemeka na kwa moyo mmoja, kama vile mnamtii Kristo. 6 Watiini, sio tu wakati wakiwaona ili mpate sifa, bali mtumike kama watumishi wa Kristo, mkifanya mapenzi ya Mungu kwa moyo. 7 Toeni huduma yenu kwa moyo wote, kama vile mnamtumikia Bwana na sio watu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica