Font Size
Waefeso 6:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
Waefeso 6:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
6 Watiini, sio tu wakati wakiwaona ili mpate sifa, bali mtumike kama watumishi wa Kristo, mkifanya mapenzi ya Mungu kwa moyo. 7 Toeni huduma yenu kwa moyo wote, kama vile mnamtumikia Bwana na sio watu. 8 Mkumbuke kuwa Bwana atampa kila mmoja tuzo kutegemeana na wema aliotenda, kama yeye ni mtumwa au ni mtu huru.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica