Font Size
Waefeso 6:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
Waefeso 6:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
7 Toeni huduma yenu kwa moyo wote, kama vile mnamtumikia Bwana na sio watu. 8 Mkumbuke kuwa Bwana atampa kila mmoja tuzo kutegemeana na wema aliotenda, kama yeye ni mtumwa au ni mtu huru. 9 Nanyi mabwana watendeeni watumwa wenu kwa jinsi hiyo hiyo. Msiwatishe, kwa kuwa mnajua ya kwamba yeye aliye Bwana wenu na wao yuko mbinguni, naye hana upendeleo.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica