Font Size
Wafilipi 1:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
Wafilipi 1:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
7 Ninajisikia hivi kwa sababu nawathamini sana moyoni mwangu. Kwa maana tumeshiriki pamoja neema ya Mungu wakati nikiwa kifun goni na wakati nikiitetea na kuithibitisha Injili. 8 Mungu ni shahidi wangu kwamba natamani mno kuwa pamoja nanyi na kwamba upendo nilio nao kwenu ni upendo wa Kristo Yesu. 9 Na sala yangu kwa ajili yenu ni kwamba upendo wenu uzidi kuongezeka siku hadi siku pamoja na maarifa na busara
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica