Font Size
Warumi 1:2-4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Warumi 1:2-4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
2 Tangu zamani, kwa vinywa vya manabii katika Maandiko Matakatifu, Mungu aliahidi kwamba angewaletea Habari Njema watu wake. 3 Habari Njema hii inahusu Mwana wa Mungu, ambaye kama mwanadamu, alizaliwa katika ukoo wa Mfalme Daudi. 4 Na alipofufuliwa na Roho Matakatifu[a] kutoka kwa wafu, alipewa mamlaka kamili ya kutawala kama Mwana wa Mungu. Ni Yesu Kristo, Bwana wetu.
Read full chapterFootnotes
- 1:4 Roho Matakatifu Kwa maana ya kawaida, “Roho wa Utakatifu”.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International