Font Size
Warumi 1:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
Warumi 1:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
4 na ambaye alidhihiri shwa kuwa Mwana wa Mungu kwa uwezo wa Roho wa utakatifu kwa kufufuliwa kutoka kwa wafu. Yeye ndiye Yesu Kristo Bwana wetu, 5 ambaye kutoka kwake, na kwa ajili yake, tumepokea neema na agizo la kuwaongoza watu wa mataifa yote wasiomjua Mungu, wapate kumwamini na kumtii. 6 Ninyi pia ni miongoni mwa watu walioitwa kuwa wafuasi wa Yesu Kristo.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica