Font Size
Warumi 1:4-6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Warumi 1:4-6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
4 Na alipofufuliwa na Roho Matakatifu[a] kutoka kwa wafu, alipewa mamlaka kamili ya kutawala kama Mwana wa Mungu. Ni Yesu Kristo, Bwana wetu.
5 Kupitia kwa Yesu, Mungu amenionyesha wema wake. Na amenipa mamlaka ya kuwaendea watu wa mataifa yote na kuwaongoza kumwamini na kumtii yeye. Kazi yote hii ni kwa ajili yake. 6 Nanyi pia ni miongoni mwa waliochaguliwa na Mungu ili mmilikiwe na Yesu Kristo.
Read full chapterFootnotes
- 1:4 Roho Matakatifu Kwa maana ya kawaida, “Roho wa Utakatifu”.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International