Font Size
Warumi 14:22-23
Neno: Bibilia Takatifu
Warumi 14:22-23
Neno: Bibilia Takatifu
22 Unavyoamini kuhusu mambo haya, iwe ni siri yako na Mungu. Amebarikiwa mtu ambaye hajisikii kuhukumiwa afanyapo jambo analoamini kuwa ni sawa. 23 Lakini mtu mwenye mashaka kuhusu anachokula, amehukumiwa ikiwa atakula, kwa sababu kula kwake hakutokani na imani. Kwa maana jambo lo lote ambalo halito kani na imani, ni dhambi.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica