Font Size
Warumi 15:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
Warumi 15:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
2 Kila mmoja wetu anapaswa kumpendeza jirani yake ili kumjenga katika imani. 3 Kwa maana hata Kristo hakujipendeza mwenyewe bali alikuwa kama ilivyoandikwa: “Matusi yote waliyoku tukana wewe yalinipata mimi.” 4 Kwa maana mambo hayo yaliyoan dikwa zamani, yaliandikwa kutufundisha, ili tukiwa na subira na faraja tunayopata katika Maandiko tuwe na tumaini.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica